Jux na Wasaidizi Wake Wanusirika Kifo Kwa Ajli ya Gari

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Mwimbaji Staa wa Bongofleva Juma Mussa Mkambala (JUX) pamoja na Wasaidizi wake wamenusurika kifo katika ajali ya gari iliyotokea leo maeneo ya Nungwi Unguja Zanzibar wakielekea Kendwa Rocks baada ya Gari aina ya Coaster kufeli breki na kukosa mwelekeo kisha kulifuata gari walilokua wakisafiria msanii huyo na kuligonga ubavuni.

Meneja wa msanii huyo Raymond Maziku amesema ni Mtu mmoja tu aliyepata mshtuko kwenye ajali hiyo na kuwaishwa Hospitali lakini wengine wote wametoka salama kwenye ajali hiyo.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad