AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kikosi Cha Simba Leo Dhidi ya Power Dynamos
Wekundu wa Msimbazi Simba SC wanashuka Dimbani leo Septemba 16 kuwavaa Power Dynamos nchini Zambia.
Mchezo huo wa kuwania kufuzu kwa hatua ya Makundi Ligi ya Mabingwa Agfrika utapigwa majira ya saa 10:00 Jioni katika Uwanja wa Levy Mwanawasa nchini Zambia.
Simba wana rekodi nzuri kwa siku za hivi karibuni dhidi ya Power Dynamos kutoka Zambia.
Hiki hapa kikosi cha Simba SC kinachoanza mchezo wa leo;
Ayoub
Kapombe
Hussein
Che Malone
Henock
Kibu
Mzamiru
Moses
Chama
Onana
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK