Kikosi Cha Simba Leo Dhidi ya Power Dynamos

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 

Kikosi Cha Simba Leo Dhidi ya Power Dynamos

Wekundu wa Msimbazi Simba SC wanashuka Dimbani leo Septemba 16 kuwavaa Power Dynamos nchini Zambia.

Mchezo huo wa kuwania kufuzu kwa hatua ya Makundi Ligi ya Mabingwa Agfrika utapigwa majira ya saa 10:00 Jioni katika Uwanja wa Levy Mwanawasa nchini Zambia.

Simba wana rekodi nzuri kwa siku za hivi karibuni dhidi ya Power Dynamos kutoka Zambia.

Hiki hapa kikosi cha Simba SC kinachoanza mchezo wa leo;

Ayoub

Kapombe

Hussein

Che Malone

Henock

Kibu

Mzamiru

Moses

Chama

Onana

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad