AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kocha wa zamani wa Manchester United na timu ya Taifa ya Uholanzi Louis Van Gaal amesema ushindi wa kombe la Dunia kwa Argentina ulikuwa umepangwa kwa ajili ya Messi.
Van Gaal amesema namna ambavyo Argentina walikua wakipata magoli ukilinganisha na timu zingine ilikuwa dhahiri kuwa wamepangwa kuwa mabingwa wa kombe hilo.
Argentina walifanikiwa kubeba Ubingwa huo mbele ya Ufaransa kwa changamoto ya mikwaju ya penati.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK