AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wenyeji, Arsenal wametoka nyuma na kuwaadhibu Manchester United kwa kuwachapa mabao 3-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jana Jumapili Uwanja wa Emirates Jijini London.
Man United ilitangulia na bao la Marcus Rashford dakika ya 27, kabla ya Arsenal kuzinduka kwa mabao ya Martin Ødegaard dakika ya 28, Declan Rice dakika ya sita ya muda wa ziada na Gabriel Jesus dakika ya 11 ya muda wa ziada baada ya kukamilika dakika 90 za kawaida za mchezo.
Kwa ushindi huo, Arsenal wanafikisha pointi 10 na kusogea nafasi ya tano, wakati Manchester United wanabaki na pointi zao sita na kushukia nafasi ya 11 baada ya wote kuchezea mechi nne.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK