Mbowe alaani ukamatwaji wa Lissu, “Tuna hofu kubwa”

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





MWENYEKITI wa Chadema, Freema Mbowe amelaa ukamataji, unyanyasaji, usumbufu aliodai unafanywa  na Jeshi la Polisi na vyombo vingine vya Dola kwa Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho, Tundu Lissu. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea).

Kwa mujibu wa taarifa aliyoweka kwenye ukurasa wake wa Twitter, Mbowe amesema Chadema kinalaani ukamati huo pia kwa viongozi wengine waandamizi wa ngazi mbalimbali, wanachama na wapenzi wa chama hicho mkoani Arusha.

“Kwa uzito huo huo, tunalaani uzuiaji wa mikutano yetu na shughuli halali za kisiasa huko Ngorongoro, Loliondo na Karatu.

“Tuna hofu kubwa ya usalama wa watu wetu na ni dhahiri sasa Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan inarejesha utawala wa mabavu usiothamini haki, Uhuru na Demokrasia. Tunafuatilia kwa karibu na tunadai kuachiliwa haraka na bila masharti kwa watu wetu wote!,” ameandika Mbowe.


Taarifa hiyo ya Mbowe imekuja saa chache baada ya Jeshi la Polisi mkoani Arusha kukiri kumkamata Lissu na wenzie watatu kwa ajili ya mahojiano kuhusu tuhuma za kufanyq mikusanyiko isivyo halali na kuzuia Polisi kutekeleza majukumu yake.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad