AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rais Samia Ampa Miezi Sita Mkurugenzi Mkuu mpya wa TANESCO Kuzima Kelele za Umeme
Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan leo September 26,2023 amewaapisha Viongozi mbalimbali Wateule Ikulu jijini Dar es salaam ambapo pamoja na mambo mengine amempa miezi sita ya matazamio Mkurugenzi Mkuu mpya wa TANESCO, Mhandisi Gissima Nyamo-Hanga na kumwagiza kuwa baada ya hiyo miezi sita hataki kusikia kelele za kukatika kwa umeme.
“Nenda kaanzie Maharage alipofikia najua utaweza, nakupa miezi sita nakuangalia pale TANESCO, kazi yako ya kwanza kusimamia ukaratabati wa hiyo mitambo lakini baada ya hiyo miezi sita nisisikie kelele tena za kukatika kwa umeme, kwahiyo tutasaidiana lakini nenda najua utaweza, sawa..!?”
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK