Sheikh Abdulrazack Atoa Kali 'Mimi ndiyo Mwanaume Ninayependwa Zaidi Duniani'

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 

Sheikh Abdulrazack Atoa Kali 'Mimi ndiyo Mwanaume Ninayependwa Zaidi Duniani'

Mume wa mtangazaji maarufu nchini, Loveness Malinzi 'Diva the Bawse' aitwaye Sheikh Abdulrazak Salum amesema kuwa yeye ndiye mwanaume anayependwa zaidi duniani, hivyo hakuna mwanamke anaweza kumkataa.


Ikumbukwe kuwa, hivi karibuni wanandoa hao waliingia kwenye mgogoro na kufikia maamuzi ya kuachana, lakini siku chache baadaye walipatana na kurudiana tena, maisha yakaendelea kama kawaida.


"Mimi ndiye mwanaume ninayeongoza kupendwa na wanawake wengi duniani, mimi ndiye Doctor love, hakuna mwanamke anayenichukia. Pia, mimi ndo Mganga msafi zaidi Duniani na mimi ndiye mwanaume mwenye mke mzuri zaidi, ana sauti nyororo na ni mtoto mdogomdogo," amesema Sheikh Abdulrazack.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad