AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Unachokifanya Fabrice Ngoma Simba Ndio Alichokuwa Anakifanya Mwamba Jones Mkude
Kwa sasa mashabiki wa Simba wako katika kilele cha furaha kutokana na kiwango ambacho kinaonyeshwa na Kiungo Mkongomani Fabrice Ngoma tangu atue hapo Unyamani.
Fabrice Luamba Ngoma ana uwezo mkubwa wa kupiga pasi ndefu,pasi fupi fupi na zikafika kwa wahusika kitu ambacho anawashinda kina Mzamiru Yassin na Sadio Kanoute.
Kutokana na ubora wa Kiungo huyo ikabidi nirudishe kumbukumbu zangu nyuma nikaona kwamba sifa za Fabrice Ngoma pia anazo Kiungo wa zamani wa Simba Jonas Mkude ambaye kwa sasa yupo Yanga.
Wakati ule wa miaka 4 ya utawala wa Simba kwenye soka letu hiki ambacho anakifanya Fabrce Ngoma ndio kile ambacho kilifanywa pia na Jonas Mkude kwenye uzi mwekundu na mweusi.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK