AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Aliyetangazwa Kupotea Mazingira ya Kutatanisha Apatikana MOI, Aligongwa na Mwendokasi
Siku chache baada ya kuwapo taarifa kwenye mitandao mbalimbali za kutoonekana kwa mfanyakazi wa hoteli ya Johari Rotana, Reuben Emmanuel Shilla (33) Mkazi wa Goba Mpakani jijini Dar es salaam, hatimaye amepatikana akiwa katika Taasisi ya Mifupa (Moi) baada ya kupata ajali kwa kugongwa na ‘mwendokasi’.
Taarifa za kutoonekana kwa Shilla zilianza kusambaa juzi Oktoba 16, 2023 baada ya jitihada za kumtafuta maeneo mbalimbali kutozaa matunda.
Akizungumza na Mwananchi Mkuu wa idara ya ulinzi katika hoteli ya Johari Rotana Theodory Stanley alisema Shilla hakuanza kuonekana tangu Jumapili October 15, alipoondoka kazini.
Meneja Mawasiliano MOI Patrick Mvungi, amethibitisha kupokelewa kwa mgonjwa huyo huku akieleza kuwa kutokana na changamoto aliyopata haruhusiwi kuzungumza.
Alipotafutwa kaka wa Shilla, hakuwa tayari kuzungumza badala yake alijibu kwa ujumbe mfupi wa maneno kuwa anamuhudumia mgonjwa
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK