Harmonize Afunguka Sababu ya Mashabiki Kuondoka Ukumbini Kwenye Show yake na Sauti Sol

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Ameandika ..✍️.. @harmonize_tz ''Tena Kuna Baadhi Ya medias Zimeenda Mbali Hadi Kwenye Show Yangu Last Week Speaking of that!! Nilipangwa Niwe wa Mwisho Kama Ilivyo Jadi. Tena Siku Hizi Nitaanza Kukataa !!! Kumaliza Show Maaana Haya Ndio Malipo Ya Kuwa Mkarim Nimepanda Jukwaani Saa 3:45AM Ukiachilia Matatizo Ya Kiufundi Ambayo siwezi Elezea Zaidi ni Kawaida kutokea!! sautisol is the one Of Best Bands in Africa Walijitahidi Saaana & i Love it kila mtu Alifurahi SWALI JEE NINGEANZA MIMI THEN KONDEGANG WOTE WAKATOKA MLE NDANII WANGEAMSHAJE!!!??? Achilia Mbali Hilo PLAY LIST YANGU ILIANZA NA NYIMBO ZA Slow mwanzoni Zamauwa mengi Kitendo Cha BFF Kuto Tokea Pia Kilinikata Kidogo, MWIJAKU ALIJITAHIDI SANAAA Next time sitowaambia Nimemualika Yeyote Anyways DAR ES SALAAM nawatangazia Show Yakufungia Mwaka Soon !!!!!! NILIKUWA SIJALEWA WALA SILEWI !!!! wakunifanya Nilewe Hayupo Mimi Ni Rafiki Wa Kila Nilie wahi Kuwa Nae Naamini Anamaana Kubwa Kwangu iwe Mbaya Au NZURIIIIIIII'.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad