AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Klabu ya Singida Fountain Gate FC imemtangaza mkufunzi Ricardo Ferreira raia wa Brazil kuwa kocha mkuu mpya klabuni hapo akichukua nafasi Mjerumani, Ernest Middendorp aliyebwaga manyanga kwa kile alichodai kuwa ni kuingiliwa katika majukumu yake.
Klabu ya Singida Fountain Gate FC imemtangaza mkufunzi Ricardo Ferreira raia wa Brazil kuwa kocha mkuu mpya klabuni hapo akichukua nafasi Mjerumani, Ernest Middendorp aliyebwaga manyanga kwa kile alichodai kuwa ni kuingiliwa katika majukumu yake. Ricardo ana rekodi ya kufundisha vilabu vikubwa barani Afrika kwa mafanikio vikiwemo Al Hilal ya Sudan, Al Merrikh SC ya Sudan na lsmaily SC ya Misri.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK