Mke wa Mwijaku Apotezea ishu ya Mumewe Kuchepuka Baada ya Baba Levo Kupost Ushahidi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 

Mke wa Mwijaku Apotezea ishu ya Mumewe Kuchepuka Baada ya Baba Levo Kupost Ushahidi

Pamoja na Baba Levo kuvujisha picha ya Mwijaku akiwa na mwanamke mwengine na kumuandikia ujumbe ambao pengine ungeweza kuteteresha ndoa ya Mwijaku, mke wa Mwijaku Alice ameonekana kutojali kabisa kile alichokifanya Baba Levo.


Kupitia Instagram Akaunti yake Alice amemtaka mume wake ku-Focus zaidi kwenye kila kitu anachofanya bila kujali kelele za pembeni.


"Focus," aliandika.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad