AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Pamoja na Baba Levo kuvujisha picha ya Mwijaku akiwa na mwanamke mwengine na kumuandikia ujumbe ambao pengine ungeweza kuteteresha ndoa ya Mwijaku, mke wa Mwijaku Alice ameonekana kutojali kabisa kile alichokifanya Baba Levo.
Kupitia Instagram Akaunti yake Alice amemtaka mume wake ku-Focus zaidi kwenye kila kitu anachofanya bila kujali kelele za pembeni.
"Focus," aliandika.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK