Ukweli Mchungu kwa Fei Toto na Jezi ya Taifa Stars

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 

Ukweli mchungu kwa Fei Toto na Jezi ya Taifa Stars

Kwa sasa kiungo wa klabu ya Azam fc Faisal salum (Feitoto) hana nafasi katika kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania chini ya kocha Adel Amrouche.


Watu wengi wamekuwa wana jaji kwa nini mchezaji ambaye kwenye Nbc Premier league anashikilia nafasi ya pili kwenye orodha ya wafungaji bora mpaka sasa akiwa nyuma ya Jean Beleke mwenye mabao (5), Fei toto akiwa na mabao (4) ndani ya ligi kuu Tanzania bara


Tukumbuke Feisal ni mchezaji anyecheza eneo la kiungo wa kati na pia anaweza kucheza kama kiungo wa kati mshambuliaji, Timu yetu ya Taifa kwa sasa inahitaji zaidi viungo wenye sifa ya kuwa na uwezo mkubwa wa kumiliki mpira, Uwezo mkubwa wa kukaba,Uwezo wa kukimbia umbali mrefu uwanjani endapo timu inapokuwa na mpira na pia timu inapokuwa nyuma ya mpira


Timu yetu ya taifa kwa sasa inahitaji sana kuwa na viungo kama Mudathiri, Mzamiru, Bajana, Himid Mao, Ambao wanasifa za kutengeneza uwiano mzuri katika eneo la kiungo dhidi ya Mpinzani, Timu kwasasa inahiatahi sana kupata wachezaji wenye uwezo wa kujitoa kitimu zaidi lakini sio ubora binafsi wa mchezaji ndani ya klabu yake


----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad