AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Klabu ya @yangasc kesho Oktoba 30, imepanga kuwasilisha barua ya malalamiko na kuomba hatua kali zichukuliwe dhidi ya mashabiki waliovalia jezi za @simbasctanzania walioonekana kwenye video wakimshambulia shabiki aliyevalia jezi ya Yanga katika Uwanja wa Mkapa.
@simon.esq ameandika; "Mpira ni upendo, kwa kitendo hiki cha mashabiki wa Simba kumpiga shabiki wa Yanga kiasi hiki sio utu kabisaa, hakuna sababu ya msingi ya kumshambulia mtu kiasi hiki. Labda niwakumbushe washamba wote walioshiriki unyama huu, Yanga na Simba ni watani wa jadi sio maadui".
Ameongeza; "Naiomba Bodi ya Ligi Kuu, Shirikisho la Soka nchini (TFF), Jeshi la Polisi wachunguze suala hili na hatua kali zichukuliwe".
"Klabu itawasilisha malalamiko yake rasmi kesho, na tutaomba hatua kali zichukuliwe kwa huu unyama
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK