AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Yanga SC wamesema wapinzani wao katika Ligi ya Mabingwa Afrika, Al Ahly wamekuja wakati mbaya hivyo lazima waziache alama tatu kwa Mkapa jijini Dar.
Afisa Habari wa Yanga, Ally Kamwe amesema Al Ahly amekuja wakati ambao wao wametoka kupoteza goli 3-0 dhidi ya CR Belouizdad na wana mpango wa kuvuna alama zote tatu za nyumbani.
"Wwamekuja wakati mbaya na sisi tunazitaka alama tatu za nyumbani, wamekuja tukiwa tunahitaji ushindi wa nyumbani kurudisha heshima yetu baada ya kupoteza," alisema Kamwe.
Yanga watakuwa na kibarua cha kuwavaa Al Ahly ambao wanaongoza kundi lao wakiwa na alama 3 huku Yanga wakiwa na sifuri sambamba na Medeama.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK