Bayern Wamtambulisha Kiungo Mtanzania Kutoka Kigoma

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 

Bayern wamtambulisha Kiungo Mtanzania Kutoka Kigoma

Klabu ya Bayern Munich ya vijana kupitia ukurasa wake wa instagram wa FC Bayern Campus imemtambulisha kiungo mshambuliaji nyota mzaliwa wa Kigoma Tanzania Nestory Irankunda mwenye uraia wa Australia pia kujiunga na kikosi hicho.


Irankunda ataanza kuitumikia klabu ya vijana ya Bayern Munich kabla ya kujiunga na kikosi cha wakubwa kama uwezo wake ukiendelea kuwa mkubw

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad