Dulla Mbabe Apigwa Tena na Katompa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 

Dulla Mbabe Apigwa Tena na Katompa

Bondia Abdallah Pazi “#DullahMbabe” ameendeleza unyonge kwa kupoteza kwa mara ya pili dhidi ya #EricKatompa wa DR Congo katika pambano lisilo la ubingwa la Uzito wa Super Middleweight lililofanyika #Arusha


Katompa ameshinda kwa pointi baada ya majaji watatu kumpa ushindi wa Pointi 93-97, 93-97 na 92-98


Baada ya pambano, Dullah amesema “Sijui Majaji au Chama cha Ngumi wana nia gani na mimi kwa kuwa nimecheza vizuri na mashabiki wameona kilichotokea.”


----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad