Hatimaye Clatous Chama Afunguka Kinachoendelea Simba "Tusitupiane Lawama"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





Kiungo Mshambuliaji wa Simba, Clatous Chama amesema “Katika nyakati hizi hakuna haja ya kunyoosheana vidole na kutupiana lawama, haitotusaidia kwa namna yoyote ile. Huu ni wakati sahihi wa kushikamana pamoja na kuunganisha mioyo yetu. Twendeni tena leo tukiwa na nguvu moja na kufanya kazi ili kurejea katika ari yetu.”

Chama amesema hayo baada ya kulaumiwa na baadhi ya mashabiki wa timu yake kuwa yeye ni mmoja wa wachezaji waliocheza chini ya kiwango katika mchezo waliopoteza kwa magoli 5-1 dhidi ya #Yanga, Novemba 5, 2023 katika #LigiKuuBara

#Simba inatarajiwa kukipiga dhidi ya Namungo FC, leo Novemba 9, 2023 kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam
-
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad