AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
"Kipindi ambacho mume wangu anaumwa nilikuwa napitia wakati mgumu sana. Lakini nilikuwa karibu na Mungu, ndugu walikuwa wakinifariji.
"Maneno ya watu nje yalikuwa mengi. Wakati mwingine unasikia amefariki wakati huo upo nyumbani au njiani unachanganyikiwa unafika hospitali unamkuta yupo sawa.
Nilikuwa nanyooshewa vidole kuwa nina UKIMWI.
Nilishawahi kusingiziwa kila kona kuwa Nina ukimwi. Ni kitu ambacho kimeshakaa nikasema ngoja nimuachie Mungu yeye ndiye anayejua" @mke_wa_profjize
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK