Mke wa Profesa Jay Afunguka 'Nilikuwa Nanyooshewa Vidole Kuwa Nina Ukimwi'

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


"Kipindi ambacho mume wangu anaumwa nilikuwa napitia wakati mgumu sana. Lakini nilikuwa karibu na Mungu, ndugu walikuwa wakinifariji.

"Maneno ya watu nje yalikuwa mengi. Wakati mwingine unasikia amefariki wakati huo upo nyumbani au njiani unachanganyikiwa unafika hospitali unamkuta yupo sawa.

Nilikuwa nanyooshewa vidole kuwa nina UKIMWI.
Nilishawahi kusingiziwa kila kona kuwa Nina ukimwi. Ni kitu ambacho kimeshakaa nikasema ngoja nimuachie Mungu yeye ndiye anayejua" @mke_wa_profjize
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad