AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
@chino_kidd7 na dancers wake wamepata ajali mbaya ya gari huko Tanga leo asubuhi ambapo taarifa za awali zimedai walikuwa wakitoka Moshi kwaajili ya show.
Taarifa ya ajali hiyo imethibitisha na @abbah_process ambaye amesema dancers hao wamevunjika miguu huku Chino akiumia kifuani kutokana na kukandamizwa na kitu kizito. Ajali hiyo imetokea baada ya gari lao aina ya Alphard kugongana na Lori.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK