AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Simba SC yashinda Tuzo ya Mashabiki Bora AFL
Klabu ya Simba SC imeshinda tuzo ya Mashabiki Bora katika Michuano ya African Football League iliyotamatika leo Novemba 12 nchini Afrika Kusini.
Simba ilicheza mchezo wa ufunguzi hatua ya Robo Fainali dhidi ya Klabu ya Al Ahly kutoka Misri kayika Uwanja wa Benjamin Mkapa Oktoba 20.
Neno moja kwa Mashabiki wa Simba SC tafadhali
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK