Trafiki Afariki kwa Kugongwa na Gari la Shule

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Trafiki Afariki kwa Kugongwa na Gari la Shule


Askari Polisi kitengo cha Usalama Barabarani Sajenti Stella Alphonce, amefariki dunia baada ya kugongwa na gari ya shule asubuhi ya leo Novemba 1, 2023 wakati akitekeleza majukumu yake ya ukaguzi barabarani katika eneo la Nyamuhongolo Jijini Mwanza.


Akieleza kuhusu tukio hilo Kamanda wa Polisi mkoa wa Mwanza Wilbroad Mutafungwa,  amesema Askari huyo alisimamisha gari hilo kwa ajili ya ukaguzi, baada ya gari kukutwa na kosa na alimtaka dereva arudishe nyuma gari kwa ajili ya usalama, ndipo alimgonga askari huyo kwa nyuma na kusababisha kifo chake.


Hata hivyo Jeshi la polisi mkoa wa Mwanza limesema linamshikilia dereva wa gari hiyo ya shule ya msingi Nyamuge, Philipo Mhina kwa kutenda kosa hilo.  

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad