AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kwa muda mrefu mashindano ya Afrika [CAF Champions League na CAF Confederation Cup] yamekuwa yakitawaliwa na timu za Kaskazini mwa Afrika.
Yanga kukutana na timu mbili kwenye hatua ya makundi kutoka ukanda wa Kaskazini mwa Afrika [Al Ahly na CR Belouizdad] inatupa fursa ya kucheza na timu zenye uzoefu na endapo tutatoka kwenye kundi hilo tutakuwa tumepata mechi zenye ushindani mkubwa.
Kwa ubora wa kikosi chetu, tunaamini tutavuka hatua ya makundi na kwenda hatua inayofuata [Robo Fainali] na safari yetu itaendelea hadi hatua ambayo hakuna timu ya Tanzania iliyowahi kufika kwenye mashindano haya ya Ligi ya mabingwa Afrika.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK