Wabunge wataka kumchangia Prof Jay, Spika atoa mwongozo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Wabunge wataka kumchangia Prof Jay, Spika atoa mwongozo

 Wabunge wataka kumchangia Prof Jay, Spika atoa mwongozo

Wabunge waonyesha nia ya kutaka kumsaidia aliyewahi kuwa Mbunge wa Mikumi kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ambaye pia ni mwanamuziki wa Hip Hop, Joseph Haule maarufu Profesa Jay.


Hii ni baada ya Profesa Jay kutambulishwa bungeni Dodoma kama mgeni leo Alhamisi Novemba 09, 2023; ambapo hoja hiyo ya kumchangia ilitolewa.


Baada ya hoja hiyo kutolewa, Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson alitoa mwongozo kwa kila mtu kuchanga kiasi chochote alicho nacho ambapo mchango huo utakusanywa leo na kisha atakabidhiwa fedha iliyopatikana.


Profesa Jay amekuwa akisumbuliwa na figo kwa takribani mwaka mmoja na miezi mitatu, hata hivyo kwa sasa afya yake inaendelea kuimarika.


----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad