AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Tofauti ya Baba Nabi na Profesa Gamondi ni matumizi ya Wachezaji (Rotation) kwa Nabi hakuna aliyekuwa na uhakika wa namba na mpaka kesho alikuwa hatabiriki kwenye kikosi chake cha kwanza, ilikuwa ni suala la mechi ipi inamtaka Mchezaji gani.
Chini ya Baba Nabi kikosi karibia chote kilitwanga, ila tangu ameondoka ni kama ameondoka na Salum Abubakar Sureboy, Farid Mussa, Kibwana Shomari na hata sasa kuna Wachezaji hawapati rotation nzuri, huyo alikuwa Baba Nabi na falsafa yake.
Profesa nae ana falsafa yake, lakini kwa ubora wa kikosi cha Wananchi kinahitaji saana rotation na ingeongeza ushindani mkubwa sana, all in all ni maamuzi ya Kocha na falsafa yake! Ni tofauti na timu nyingine kweli ni unga unga Mwana ila kwa Yanga wana wachezaji wengi sana wazuri. I stand to be corrected
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK