Mlima Hanang Watajwa Chanzo Cha Mafuriko Katesh

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 

Mlima Hanang Watajwa Chanzo Cha Mafuriko Katesh

Mkuu wa Wilaya ya Hanang Mkoani Manyara, Janeth Mayanja akitolea ufafanuzi kuhusu Hali ya mafuriko yaliyotokana na vua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali nchini ambapo mvua hizo zinatajwa kunyesha tangu usiku wa kuamkia Leo.


Mlima Hanang unatajwa kuelemewa na kwa mvua hizo na sehemu ya Mlima huo kuporomoshwa na Mvua baada ya kulegea udongo katika sehemu ya Mlima Hanang na kupelekea mawe na udogo ulioambatana na vua hadi kwenye sehemu ya makazi ya watu wilayani humo.


“Leo asubuhi tumepata changamoto hapa Hanang toka jana usiku zilikuwa zikinyesha mvua za kawaida lakini maji yakawa yameporomoka kutoka Mlima Hanang yakiwa na mawe na miti kuja katika Mji wa Kateshi yakiwa na nguvu.


"Mpaka sasa tumepata vifo vya watu 47 pamoja na majeruhi ambapo maiti zimehifadhiwa katika Hospitali ya Tumaini lakini pia uharibifu wa miundombinu ya barabara kati ya Sindiga na Babati yamesimama kwa muda ila TANROADs na TARURA wapo hapa kuhakikisha mawasiliano yanarejea.


“Pia niwaombe Wananchi kuendelea kuwa watulivu wakati jitihada za uokoaji zikiendelea,” amesema DC Janeth.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad