AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Klabu ya Azam, Zakaria Thabiti maarufu kama Zakazakazi amefunguka kuhusu tetesi za zklabu ya Simba kumtaka winga wao, Kipre Jr ambaye kwa siku za hivi karibuni amekuwa mwiba kwelikweli kwenye lango la mpinzani.
Akiongea baada ya ushindi mnono wa mabao 5-0 dhidi ya KMC, Zaka amesema kama kweli wanamtaka wanatakiwa kuwa na vijana wadogo wenye miaka 22, yaani wachezaji 25 ndiyo sawa na Kipre JR mmoja.
Zakaria amesema hata Real Madrid ya Ligi Kuu ya Hispania wenyewe pia walimtamani Kipre Jr lakini wameshindwa kumpata.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK