Angalla Atoa Siri Kubwa "Mimi na Dulla Makabila ni Wapenzi Miaka Miwili Sasa"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Angalla Atoa Siri Kubwa "Mimi na Dulla Makabila ni Wapenzi Miaka Miwili Sasa"

“Mimi na @dullamakabila tulikuwa wapenzi kisirisiri kwa miaka miwili japo baadae mwenzangu alikuja kuyaweka wazi. Sababu ya sisi kutengana ni yeye alikuwa na mambo mengi na Ubusy sana maana mimi napenda Time na attention” @anjella_tz

“Mahusiano yetu yalikuwa kabla hajaoa lakini alipooa tukabaki mashkaji tu ila alipoachana na Mkewe tukarudiana, japo Mapenzi yetu yalikuwa ‘ya kisela’ sana atazunguka kote lakini anarudi kwangu” @anjella_tz

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad