AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Baba wa marehemu mwanamuziki Mohbad kutoka nchini Nigeria kupitia mahojiano yake ya hivi karibuni ameeleza kuwa aliyekuwa mke wa #Mohbad, Wunmi na wakili wake wanatishia kumuua.
Baba Mohbad, Joseph Aloba ameweka wazi suala hilo wakati akizungumzia kuhusiana na kuchelewa kwa majibu ya vipimo vya mwili wa mwanaye pamoja na #DNA na kueleza kuwa alipigiwa simu ya vitisho na #Wunmi ambapo amedai kuwa amerekodi kila kitu.
Ikumbukwe kuwa Marehemu #Mohbad alifariki Septemba 12, 2023 Ikorodu nchini #Nigeria.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK