AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Baada ya mchezo wa Jku Vs Simba mchezo ambao Mnyama ameibuka na ushindi wa goli tatu Kwa moja kocha mkuu wa kikosi cha Simba (Benchika) ameweka wazi kuwa hajaridhishwa na kiwango cha Timu yake
"Sijaridhishwa na performance yetu Leo tumefanya makosa mengi," amesema Benchika baada ya mchezo huo.
Hata hivyo, Benchikha aliwapongeza wachezaji wake kwa kufanya vizuri hususan kijana ingizo jipya Karabaka ambaye alitupia goli ndani ya dakika mbili baada ya kuingia mchezoni akitokea benchi.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK