H Baba azimia akifanyiwa dua aache uchawa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 

H Baba azimia akifanyiwa dua aache uchawa

Kwenye video fupi inamuonyesha msanii wa muziki wa ongo Fleva H Baba akizimia/kukata upepo wakati akiombewa na Sheikh ili aachane na mambo ya Uchawa na kurudi kwenye muziki rasmi.


Kwennye video anasikika akiongea Farid Kubanda almaarufu kama Fid Q akimuombea aahidi kwa watu waliokuwepo eneo la tukio na Sheikh kuwa hatorudi tena kwenye mambo ya Uchawa na atafanya muziki wake.


Baada ya Sheikh kuomba dua na kumaliza H Baba ameonekana akizimia. Tukio hili limefanyika mkoani Mwanza nyumbani ambapo ni mahali walipozaliwa Fid Q na H Baba.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad