AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kwenye video fupi inamuonyesha msanii wa muziki wa ongo Fleva H Baba akizimia/kukata upepo wakati akiombewa na Sheikh ili aachane na mambo ya Uchawa na kurudi kwenye muziki rasmi.
Kwennye video anasikika akiongea Farid Kubanda almaarufu kama Fid Q akimuombea aahidi kwa watu waliokuwepo eneo la tukio na Sheikh kuwa hatorudi tena kwenye mambo ya Uchawa na atafanya muziki wake.
Baada ya Sheikh kuomba dua na kumaliza H Baba ameonekana akizimia. Tukio hili limefanyika mkoani Mwanza nyumbani ambapo ni mahali walipozaliwa Fid Q na H Baba.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK