Makonda afichua siri Mbowe kwenda Ikulu alipotoka gerezani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Katibu wa Itikadi na Uenezi (CCM), Paul Makonda ameeleza kuwa, kitendo cha Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe kwenda Ikulu alipotoka gerezani kilikuwa na maana halisi ya dhamira ya kukuza demokrasia ya Rais Samia Hassan.

"Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais Dkt. Samia anafanya kazi kwa msaada mkubwa we Mwenyezi Mungu katika kuongoza Taifa hili na ukitaka kujua hilo dalili mojawapo ya mtu anayeaaidia ni Mungu ni kuwa na Upatanishi"

"Rais Samia alianza kuwapatanisha Watanzania bila kujali itikadi ya vyama vyao, kabilabwala kipato na kila aliyepeleka malalamiko alimsikiliza na kuchukua hatua"

"Mbunge wenu wa zamani hapa Hai hata sura yake imebadilika sababu ndani yake anajua Rais Samia ametumwa na Mungu na nanjua wengine watakebehi na kutoa tafsiri nyingi lakini jiulizeni swali moja...anayepanga ratiba za binadamu ni nani? Maana yake Mungu alishampanga Samia kuwa Rais"

"Mbowe katika mahabusu stendi yake ya kwanza kafikia Ikulu na alipotoka alieleza na kukiri kuwa dhamira ya maridhiano Dkt. Samia ni dhamira njema...halafu mtu huyohuyo anakuja tena kusema hakuna maridhiano na bado anapiga simu kwa Rais Samia kuomba michango na anapewa."


----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad