AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Chuma mbili zilizowekwa kambani na Willy Onana na Luis Miquissone zimetosha kuwalaza na viatu Singida FG ambao waliingia kwenye mchezo wa hatua ya Makundi ya Mapinduzi Cup wakionekana kuutaka mchezo kwelikweli.
Mbungi ilikuwa live kutokea uwanja mpya wa Amaani Visiwani Zanzibar ambapo kamba ya kwanza iliwekwa na Onana kupitia mpira wa faulu huku Miquissone akiwaadhibu kwa shuti kali nje kidogo ya kumi na nane.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK