Q Chief Atangaza Kumaliza Bifu na TID

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 

Q Chief Atangaza Kumaliza Bifu na TID

Mkongwe wa Bongo Fleva, Q Chief ameweka wazi kuwa mwaka huu 2024 hataki tena kuwa na tofauti na mkongwe mwenzake TID.


Chilla ameandika kuwa wamekuwa mahasimu kwa muda mrefu bila faida yoyote hivyo haoni umuhimu wa kuendeleza tofauti zao.


Lakini pia Q chief amempongeza TID kwa harakati zake za kimuziki anazozifanya kwa sasa.


Kwenye ukurasa wake wa Instagram, Chillah amesema; "Anaitwa Khalid Mohammed au Kigogo Warioba. Leo nachukua nafasi hii kuanza rasmi mwaka 2024 kwa staili ya kikubwa na tofauti.


"Nitaaanza kwa kukupongeza kwa kazi kubwa unayoifanya katika harakati zako Nimevutiwa sana na jinsi inavyopambana unastahili pongezi. Lakini pia nichukue nafasi hii kukujuza kwamba, sina tofauti zozote kati yangu mimi na wewe.


"Ule ugomvi usio na maaana wala malengo umefikia tamati kuna kesho tusije shindwa kuja kuzikana kisa watu ama vitu vidogo.


"Hatua ni sehemu ya ukomavu na ujasiri katika maisha. Mwenyezi Mungu atupe mwisho mwema. Sijui lakini cant wait to see us on one stage. Nuff lv nuff respect @tidmusic @cloudstv, @mwanafa @majani. Ni yeyeeeeeeeeeeeee vujuvenga watoto wadogo," amesema Chillah.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad