TETESI Diarra apata dili Uturuki

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





Tetesi kutoka kwenye chanzo Cha kuaminika kutoka nchini Mali kuhusu Kipa wa Yanga SC Djidui Diarra zinasema Kuna timu ya ligi nchini Uturuki inahitaji huduma ya golikipa Huyo Bora ndani ya Africa akiwa amefanikiwa kutwaa tuzo ya golikipa Bora mara mbili ya ligi kuu,lakini akitwaa tuzo ya kipa Bora kwenye fainali kombe la shirikisho fainali dhidi ya USM Alger.

Wamevutiwa na ubora wa kipa Huyo baada ya kuingia kwenye kinyang’anyiro Cha kugombea kipa Bora katika tuzo za CAF na makipa wakubwa Afrika lakini pia amekuwa akitwa kwa muendelezo katika timu ya taifa ya Mali.

Lakini ukiacha yeye timu hiyo pia imevutiwa na mchezaji mwingine kiungo kutoka Mali Aliou Dieng kutoka klabu ya Al Ahly ya Misri nae akitakiwa kwenda kwenye hiyo klabu ya Uturuki pamoja na Screen protecter Diarra.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad