AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hii ni mara ya nne kwa Afrika Kusini kufika hatua ya nusu fainali katika historia yao wakiwa wamefika fainali mara mbili 1996 ambao walikuwa Bingwa na 1998 wakapoteza dhidi ya Misri.
Afrika Kusini sasa watacheza dhidi ya Nigeria katika hatua ya nusu fainali ya michuano ya AFCON 2023, Cape Verde wao ni mara yao ya nne kuwahi kushiriki michuano ya AFCON na hii ni hatua kubwa kwao.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK