Akutwa na alama za Barabarani za Tsh milioni 10 ndani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Akutwa na alama za Barabarani za Tsh milioni 10 ndani


Jeshi la Polisi mkoani Tabora linamshikilia jamaa aliyefahamika kwa jina la Moshi, kwa tuhuma za uharibifu na wizi wa alama za usalama barabarani kutoka katika barabara mbalimbali katika mkoa huo baada ya kukutwa na alama zenye thamani ya zaidi ya Sh. milioni 10 nyumbani kwake.


Akitoa taarifa hiyo kwa waandishi wa habari Kamanda wa Polisi, ACP Richard Abwao, amesema mtuhumiwa huyo alikamatwa saa 12 asubuhi katika Kata ya Usege wilayani Kaliua.


Amesema walimkamata mtuhumiwa huyo baada ya kupata taarifa kutoka kwa wasamaria wema ambao wanapiga vita vitendo vya uharibifu wa alama za barabarani.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad