Fiston Mayele aisaidia Pyramids kupata alama tatu, Majini Yaanza Kuondoka

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 

Mayele aisaidia Pyramids kupata alama tatu, Majini Yaanza Kuondoka

Fiston Mayele hapo jana aliingia Dimbani dakika ya 59 kuchukua nafasi ya Fargie Lakay wakati huo Pyramids Football Club walikuwa Bado hawajapata bao dhidi ya Al Ittihad katika mchezo wa Ligi Kuu ya Misri.


Baada ya Mayele kuingia Pyramids walichangamka zaidi na kupata bao dakika ya 75 Ahmed Sammy dakika ya 75 na kusepa na alama tatu muhimu (1-0).


Kazi nzuri ya Fiston Mayele, Mohamed Chibi na Ahmed Sammy inawapa alama tatu vijana wa Pyramids ambao wanachupa Hadi nafasi ya tatu kunako msimamo wa EPL.


Msimamo wa EPL:

1. ENPPI - 23 pts

2. ZED - 21 pts

3. Pyramids FC - 21 pts

4. Al Ittihad - 19 pts


Al Ahly Sporting Club wamecheza michezo 6 wakati Zamalek Sporting Club wakishuka Dimbani mara 8, kinara wa Ligi ENPPI wameshuka Dimbani mara 13 hivyo Pyramids, Zamalek na Al Ahly wakishinda michezo yao watarudi juu tena.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad