AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
CAF imemfungia mchezaji wa timu ya Taifa ya Mali beki Hamari Traoré mechi nne (4) kutokana utovu wa nidhamu dhidi ya Mwamuzi aliyechezesha mechi kati ya Ivory Coast na Mali katika mashindano ya kombe la AFCON.
Pia, Shirikiso la Mali limetozwa faini ya Dola 10,000 huku kwa upande wa Ivory Coast wakipigwa faini ya dola 5,000 kwa utovu wa nidhamu wakati wa mchezo.
Itakumbukwa kuwa Ivory Coast ndio waliotwaa Kombe la Afrika baada ya kuwachapa Nigeria kwenye fainali.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK