AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Shirika la Reli Tanzania (TRC) leo February 26,2024 limeanza safari yake ya kwanza rasmi ya majaribio ya treni ya SGR kutoka Dar es salaam hadi Mkoani Morogoro, hii ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa agizo la Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye aliagiza hadi kufikia July mwaka huu safari za SGR kutoka Dar hadi Dodoma ziwe zimeanza.
Itakumbukwa Rais Samia wakati akitoa salamu za mwaka mpya kwa Taifa December 31,2023 pamoja na mambo mengine kupitia hotuba yake aliagiza hadi kufikia mwisho wa mwezi July mwaka huu 2024 safari za treni kupitia reli ya SGR kutoka Dar es salaam kwenda Dodoma ziwe zimeanza.
Rais Samia alinukuliwa akisema “Nimekuwa nikisikia mabadiliko ya tarehe za kuanza kwa safari za treni kupitia reli ya SGR kutoka Dar es salaam kwenda Dodoma na kwakweli Wananchi wamechoshwa na vijisababu wanataka kuona reli ikifanya kazi, sasa naelekeza ifikapo mwisho wa mwezi July 2024 safari ya reli ya SGR kati ya Dar es salaam hadi Dodoma ziwe zimeanza”
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK