AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kiungo Paul Pogba amefungiwa Kujihusisha na maswala ya Soka kwa miaka minne kwa makosa ya matumizi ya madawa yaliyokatazwa michezoni.
Paul Pogba mwenye miaka 30 hivi sasa atarudi tena uwanjani 2028 akiwa na umri wa miaka 34.
Maisha ya talanta yake ndani ya soka imemalizika rasmi na siku ya jumapili Juventus walivunja mkataba na kiungo huyo wa zamani wa Manchester United na Ufaransa.
Maisha ni kuchagua kazi zipo nyingi atajishughulisha tu soka kwake itabaki kama Historia tu.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK