AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mayele na Ngassa |
Sakata la Fiston Mayele Kudai Kutupiwa Jini Kiwango Kishuke, Mrisho Ngassa Ampa za Uso Ukimtaja Fei Toto
Sakata la Fiston Mayele limemuibua mshambuliaji wa zamani wa Yanga, Mrisho Khalfan Ngassa ambaye amesema kama ni kutupiwa jini basi Fei Toto angekuwa chizi, majini ya hapahapa na yanamuona kuliko majini ya kusafiri.
“Kuna kipindi nilihamia team nyingine kutoka yanga nikakuta kule mashabiki wachache nishazoea shangwe kufunga kukawa shida nikasema ndio nimeisha au Ikn sikuwaza majini” ameandika Ngassa kwenye ukurasa wake wa Instagram.
“Kuna wachezaji wakitoka Simba, Yanga, Azam kufunga ni ngumu wanaenda team Mashabiki wapo 30 mpinzani haogopi chochote, uwezo wako ndio watakiwa uwaonyeshe. Sasa umeondoka ktk team umeuzwa watu wamepiga pesa wamefurahi unakuja umetupiwa jini.
“Basi Fei Toto angekuwa chizi majini ya kusafiri na majini ya hapa hapa yanamuona. Hahaha team ni kubwa kuliko mtu yoyote hii ni story fupi wachezaji. Kuna maisha baada ya soccer tuishi vizuri na shule tulizo pita kesho tutasomesha watt wetu kwa Ada ndogo” — Ngassa
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK