AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Matokeo ya Mechi ya Leo ASFC
FULL TIME: Yanga SC 5-0 Polisi Tanzania
⚽️ Joseph Guede
⚽️ Joseph Guede
⚽️ Farid Musa
⚽️ Mzize
⚽️ Shekhani
Ukiangalia Simba wanamkosa mshambuliaji ambaye anaweza kutumia vizuri mipira ya juu kwani wamekuwa Wakitengeneza nafasi nyingi lakini hazitumiwi.
Simba wamgekuwa na Guede wana magoli mengi kutokana na kutengeneza nafasi nyingi za mipira ya juu.
Kingine wanachokikosa Simba ni Combination ya Wachezaji kama Okrah & Guede....Ndiyo kwanza wameanza kuuwasha motoo.🙌🏻
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK