TETESI: Mayele aomba kuvunja mkataba Pyramids

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mshambuliaji wa zamani wa Klabu ya Yanga, Fiston Mayele amewasilisha barua kwenye Menejiment ya klabu ya Pyramids kwaajili ya kuhitaji kusitishiwa mkataba wake.


Vyombo mbalimbali vya Habari kutoka Misri vimeripoti kuwa Mayele amedai hana furaha kuitumikia zaidi Pyramids FC na ameshafanya mazungumzo na Uongozi wake unaomsimamia ili kupata changamoto nyingine akiondoa Pyramids.


Taarifa za kuaminika ni kuwa Mayele ambaye ni raia wa Congo DR anautaka usimamizi wa Klabu ya Pyramids ya nchini Misri kusitisha mkataba wake.


Taarifa za ndani zinaeleza kuwa, licha ya Simba kuonesha nia, lakini Wauza Ukwaju wa Dar es Salaam, Klabu ya Azam FC wanahusishwa pia katika mipango ya kumsajili Mayele.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad