Al Ahly Wamrudisha Fasta Benchikha

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Kocha Mkuu wa Simba SC, Abdelhak Benchikha, kukatisha ameamua masomo yake na kurejea nchini kuanza mikakati ya kuikabili Al Ahly kwenye mchezo wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Barani Afrika.

Taarifa za uhakika zinasema kuwa Benchikha aliondoka nchini kuelekea Algeria siku chache zilizopita kwa ajili ya kuhudhuria kozi ya juu ya ukocha, lakini baada ya kutangazwa Droo ya Robo Fainali ameamua kukatisha kozi hiyo na kurejea nchini.

Mmoja wa viongozi wa klabu hiyo amesema kuwa kocha huyo anatarajiwa kurejea nchini siku yoyote kuanzia leo Alhamis (Machi 14) na tayari ametoa maombi kwa uongozi kuipeleka timu hiyo Zanzibar kwa ajili ya kuweka kambi katika kipindi ambacho ligi itasimama kupisha mechi za kirafiki za kalenda ya Shirikisho la Soka Duniani ‘FIFA’.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad