Amini Nawaambia Yanga Anaingia Semi Final..

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Amini Nawaambia Yanga Anaingia Semi Final..


Jana Nilikuwa Najiuliza Why Simba Wamefurahia Yanga Kupangwa Na Sondowns!? Wakati wao pia Wamepangwa Na Mabingwa Wa Africa!?

1. Nikakumbuka Ndio Zile Tabia Za Kimaskini... Bora tokose wote...Simba Wanaamini Wao Hawatavuka Hatua Hii, Hivyo Furaha Yao Kuona Yanga Hawavuki Pia..

2. Simba Wanaamini Yanga Imewazidi Sana Uwezo Kwa Hiyo Bora Wamepata Mbabe Wao angalau Awapunguzie Machungu Ya Wao Kufungwa Na Yanga....

Lakini Amini Nawaambia Yanga Inaenda, Na Hamtoamini.....

1.Yanga Ina quality Players Wanaoweza ku-compite

2.Yanga Ina Spirt, Na Umoja Sana kutoka Kwa Viongozi, Wachezaji Mpaka Mashabiki.

3.Yanga Ina Hamu Ya Mafanikio, Inatamani Kuionyesha Africa Kuwa Ni Timu bora...

4.Yanga Ina Benchi zuri la Ufundi..Wanaolijua Vizuri Soka La Africa...
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad