Chama Anyoosha Mikono Aziz K na Kukiri ni Fundi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Baada ya muendelezo bora wa fundi wa mpira Aziz KI. Akitupia goli kila mechi, hatimaye Mwamba wa Lusaka Triple C, Chama Baaaba. Amenyoosha mikono juu kukiri ubora wa fundi huyu wa 'Kibukinabe'.

Tazama 'posti' ya Chama hapo juu, katupia picha ya Aziz Ki 'Master Key'. Kisha mbele kaweka 'imoji' yenye ishara ya kunyoosha mikono juu kama kukubaliana na ubora wa mwenzake.

Wakati waswahili Vingunguti, Tandale, Goba, Majimatitu hadi Vikindu huko, wakiraruana kwa maneno ya nani zaidi kati ya Chama na Aziz K. Kwao ni tofauti 'wanaenjoi' maisha huku wakisapotiana na kupongezana.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad