AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Katika usajili wa timu 16 za Ligi Kuu msimu huu ni timu moja tu ambayo ni Yanga ambao usajili wake kwa kiasi kubwa umelipa ama tunasema umefanikiwa.
Licha ya kuwa usajili ni kamari ila kwa upande wa Yanga karata zao wamezichanga vizuri hadi sasa wakati ambao wamecheza mechi 17 za Ligi Kuu.
Max Nzengeli,Pacome Zouzou na Kouassi Attohoula Yao huu ndio usajili ambao kwa kiasi kikubwa umefanikiwa kulingana na takwimu walizonazo hadi sasa.
Pacome Zouzoua
Goli 6 na Assist 3
Max Nzengeli
Goli 8 na Assist 2
Kouassi Attohoula Yao
Goli 1 na Assist 7.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK