TFF Wafunguka Kuhusu Mbwana Samatta Kuomba Kutoitwa Timu ya Taifa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limesema Nahodha wa Timu ya Taifa Mbwana Samatta hajaitwa kwenye kikosi cha Taifa Stars kwa sababu alimuomba Kocha Hemed Suleiman asimjumuishwe kwenye kikosi hiko kuelekea michezo ya FIFA Series.

“Nahodha wa Timu ya Taifa Taifa Stars, Mbwana Samatta ameomba kutojumuishwa kwenye kikosi kilichoitwa kwa michezo ya FIFA Series 2024, amezungumza na Kocha kabla ya kutajwa kwa kikosi hicho na kuomba asijumuishwe katika
safari hiyo ya Azerbaijan, ombi ambalo limekubaliwa”

“Kikosi hicho kitakachoingia kambini Machi 17, 2024 kitaondoka Machi 18, 2024 na kitacheza michezo miwili na Bulgaria na Mongolia, michezo itayochezwa Machi 22 na Machi 25, 2024 Kikosi kinatarajia kurudi Machi 27, 2024”

Taifa Stars itandoka nchini kuelekea Azerbaijan kwa ajili ya michezo ya FIFA Series ambapo huo ni utaratibu mpya uliyoanzishwa na FIFA.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad