Wafanyakazi TPA Kuchagua Kubaki TPA au Kuhamia DP World

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imesema kutokana na mabadiliko ya uendeshaji wa Bandari ya Dar es Salaam, watumishi wa bandari hiyo wametakiwa kuchagua endapo watabakia TPA au kusitisha mkataba wa ajira na TPA na kuajiriwa na DP World papo hapo.

“Menejimenti ya TPA ilitoa taarifa hiyo kwa watumishi baada ya kukamilisha programu maalum ya kuwaelimisha na kutoa ufafanuzi wa kina na taarifa sahihi kuhusiana na mabadiliko tajwa kwa watumishi wake,” imeeleza taarifa.

Aidha, TPA imesema taarifa iliyotolewa na Menejimenti ilielekeza watumishi watakaoridhia kujiunga na DP World kwa hiari yao kuwasilisha taarifa zao katika makao makuu ya TPA kabla au ifikapo Machi 29, mwaka huu.

Vilevile, kwa watumishi ambao hawatopenda kujiunga na DP World watabaki TPA kwakuwa mamlaka hiyo itaendelea kuhitaji watumishi watakaotoa huduma katika bandari zake zinazoendelea kuboreshwa katika maeneo mbalimbali nchini.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad